قال الله تعالى-:
Amesema Allah – aliyetukuka-:
وإذا النُّفوسُ زُوِّجت
{ Na pindi nafsi zitakapokusanywa }
أي: حشرت مع نظائرها
Maana yake: Zitakusanywa pamoja na zinazolingana nazo (katika matendo).
قال عمر بن الخطاب – رضي الله عنه – الصالح مع الصالح في الجنة، والفاجر مع الفاجر في النار
Amesema Umar bin – Allah amridhie – Mwema pamoja na mwema (mwenzake) peponi na muovu pamoja na muovu (mwenzake) motoni.
المستدرك (٢/٥١٦
Maelezo: Mshirikina atakuwa pamoja na mshirikina mwenzake, kafiri atakuwa pamoja na kafiri mwenzake, mlevi atakuwa na walevi wenzake n.k, pia watu wema watakuwa pamoja katika pepo.
Mfasiri: fawaidusalafiya.net
Imeandaliwa: Tarehe 06 – Safar – 1442H ≈ 23 – September – 2020M.
Kupata faida nyingi tembelea website yetu kwa kubonyeza hapa: https://www.fawaidusalafiya.net
Usikose kuungana nasi Telegram kwa kubonyeza hapa: https://t.me/fawaidussalafiyatz
Muhimu: Sambaza kama ilivyo, si ruhusa kubadilisha chochote. Tuwe waadilifu. •┈┈┈┈••✦✿✦••┈┈┈┈•